Kampuni ya uchimbaji almasi ya Petra Diamonds imesimamisha shughuli zake za uchimbaji katika mgodi wake uliopo Mwadui Shinyanga, Kaskazini Magharibi mwa Tanzania.
Tuesday, 19 September 2017
Wednesday, 13 September 2017
Mpanda
Mpanda
Mpanda District Council is in Katavi Region of
Tanzania, East Africa. It is the administrative centre of Katavi Region, Mpanda District and
is itself one of the three districts and five district council of the region.
Mpanda is a "frontier town" in the far west of Tanzania, roughly
500 km north of Mbeya and 380 km south-west of Tabora. It is the
administrative headquarters for the Katavi Region, (created by subdivision of
the Rukwa Region in 2012), and for the Mpanda District. It is an important
centre in the rural economy, especially for the marketing and transshipment of
rice and maize. The Katavi region is increasingly of interest to mineral
prospectors, especially for gold. It is also a staging point for visiting the
beautiful Katavi National Park, with its headquarters just 35 km to the
south at Sitalike. The Park has a good cross-section of East African wildlife
but is perhaps best known for its populations of hippopotamus.
As yet all roads into Mpanda (from Sumbawanga, Tabora or Kigoma) remain
unsealed and may for brief periods become impassable at the height of the wet
season (particularly February–March). The Tanzanian government has in progress
a project to seal a large part of the road north from Sumbawanga. Sumry operate
two daily bus services to Sumbawanga (240 km 5hours), one of those going
on to Mbeya. Several bus lines operate to Tabora (380 km, 9 hours). Local
services include minibuses to Sitalike, and daily bus services to Usevya and to
the fishing villages of Karema and
Ikola on Lake Tanganyika. Mpanda is the endpoint of a rail line with passenger
services from Tabora (approx 12-15hours). In 2012 the government completed an
upgrade of Mpanda airport to a 2 km sealed runway and a commercial air
service has commenced.
Mpanda was made the centre of a new Catholic Diocese in October 2000 and
boasts a very fine cathedral with magnificent pictorial windows. The town is
also the centre for the Anglican Diocese of Lake Rukwa created in June 2010.
There is a fine Moravian church and other Christian services are provided by
Lutheran, African Inland Church and Tanzania Assemblies of God. Moslem people
are well served by several mosques spread through the urban area.
Monday, 11 September 2017
Kampuni ya madini yasitisha uchimbaji Tanzania
Kampuni ya madini yasitisha uchimbaji Tanzania
Hii imekuja siku chache tu baada ya kamati za bunge kuwasilisha ripoti zao kwa Rais John Magufuli kufuatia uchunguzi walioufanya katika sekta ya uchimbaji madini ya almasi na tanzanite.
Petra, ambao ndio wachimbaji wakubwa wa almasi nchini Tanzania, wamekuwa wamejikuta kuwa kampuni nyingine ya kigeni kuingia katika mgogoro serikali ya Tanzania katika harakati za kufanya mageuzi katika sekta ya uchimbaji madini nchini humo.
Wiki mbili zilizopita, mamlaka nchini Tanzania ziliripoti kukamatwa kwa vifurushi vya almasi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere ambavyo vilikuwa ni mali ya Petra na vilikuwa mbioni kusafirishwa kwenda Ubelgiji kuuzwa.
Maafisa wa serikali walisema Petra ilidanganya juu ya kiasi na thamani ya almasi hizo ambapo, wakati kampuni ya Petra ikisema almasi hiyo ilikuwa na thamani ya dola za kimarekani milioni 14.8, uchunguzi wa serikali ulibaini almasi hiyo ilikuwa na thamani ya dola milioni 29.5.
Hata hivyo, Petra imekanusha tuhuma hizo na kusema kwanza wao ni wawazi katika kuripoti thamani ya almasi yake lakini pia ni wakala wa serikali ndio unaokisia na kutoa thamani ya almasi inayochimbwa na kampuni hiyo.
Mwandishi wetu Sammy Awami akiwa Dar es Salaam anasema katika waraka wake leo hii, Petra imesema pia kwamba baadhi ya maafisa wake wa ngazi za juu wanahojiwa na mamlaka nchini Tanzania kuhusiana na sakata hiyo.
Kuhusu kufungwa kwa mgodi wake wa Williamson uliopo Mwadui, Shinyanga, Petra imesema uamuzi huo wameufikia kutokana na sababu za "kiafya na kiusalama" na kwamba wanaendelea kutoa ushirikiano wao kwa serikali ya Tanzania katika uchunguzi wa mkasa unaoendelea hivi sasa.
Serikali ya Tanzania imeendelea na harakati zake za kimapinduzi katika sekta ya madini ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Rais Magufuli kuona sekta hiyo inachangia zaidi katika pato la taifa.
Tayari kuna sheria kali ambazo zimewekwa kuhakikisha kwamba sekta ya madini nchini Tanzania inabanwa katika kuchangia zaidi mapato kwa serikali.
Subscribe to:
Posts (Atom)