Saturday 9 March 2019

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA YATIKISA KATIKA UINGIZAJI WA TAARIFA ZA SHULE


SEMINA YA MAFUNZO YA VISHIKWAMBI HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA

Walimu wa Shule za Msing Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda wakisikiliza mafunzo ya namana ya kutumia kishikwambi (tablet). walimu hao wamewezeshawa kutumia taarifa muhimu kutoka shule walizopo moja kwa moja kupitia vishikwambi walivyopewa kwa matumizi ya kutunza taarifa za shule zao.Mafunzo hayo ya siku nne yaliyofadhiliwa kupitia programu ya EQUIP Tanzania yalianza tarehe 4/03/2019 na yatakamilika 8/03/2019