Hamashauri ya Wilaya ya Tanganyika ni moja kati sehemu ya Aridhi Mkoa wa Katavi iliyobarikiwa na mambo mengi kama Kilimo,Ufugaji,Uvuvi,Utalii na Ufugaji wa Nyuki (kwa asali ya Nyuki wadogo na wakubwa)
Friday, 1 June 2018
Serikali imetoa milioni 500 kwa kazi hiyo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Hamadi Mapengo (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya madiwani na watalaam pamoja na wajumbe wa kamati ya afya Mwese wakiangalia eneo linalotarajiwa kujengwa majengo mapya ya kituo cha Afya cha Mwese. Serikali imetoa milioni 500 kwa kazi hiyo.
No comments:
Post a Comment