Hamashauri ya Wilaya ya Tanganyika ni moja kati sehemu ya Aridhi Mkoa wa Katavi iliyobarikiwa na mambo mengi kama Kilimo,Ufugaji,Uvuvi,Utalii na Ufugaji wa Nyuki (kwa asali ya Nyuki wadogo na wakubwa)
Wednesday, 15 August 2018
HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA YAIBUKA KIDEDEA KWEYE SIKUKU NA MAAZIMISHO YA NANENANE MBEYA 2018 KWAKUMTOA KIMASOMASO MFUGAJI BORA.
Mfugaji bora wa ng'ombe za nyama katika maonesho ya nane nane 2018 kwa
nyanda za juu kusini mwa Tanzania Bw. Adolf Andrea (aliyevaa
kitambulisho) akionesha cheti kwa maafisa mifugo wa Halmashauri ya
wilaya ya Mpanda (Tanganyika). Andrea ametunikiwa cheti na shilingi 2
milioni.
No comments:
Post a Comment