Hamashauri ya Wilaya ya Tanganyika ni moja kati sehemu ya Aridhi Mkoa wa Katavi iliyobarikiwa na mambo mengi kama Kilimo,Ufugaji,Uvuvi,Utalii na Ufugaji wa Nyuki (kwa asali ya Nyuki wadogo na wakubwa)
Friday, 1 June 2018
Wahudumu wa afya ya msingi wa kutoka Halmashauri ya wilaya ya Mpanda na Nsimbo wakipatiwa mafunzo
Wahudumu wa afya ya msingi wa kutoka Halmashauri ya wilaya ya Mpanda na Nsimbo wakipatiwa mafunzo katika ukumbi wa Lyamba.Mafunzo hayo yameendeshwa na waratibu wa huduma ya mama na mtoto kwa kufadhiliwa na taasisi ya Jane Goodall (JGI).
No comments:
Post a Comment