Friday 1 June 2018

Wahudumu wa afya ya msingi wa kutoka Halmashauri ya wilaya ya Mpanda na Nsimbo wakipatiwa mafunzo

Wahudumu wa afya ya msingi wa kutoka Halmashauri ya wilaya ya Mpanda na Nsimbo wakipatiwa mafunzo katika ukumbi wa Lyamba.Mafunzo hayo yameendeshwa na waratibu wa huduma ya mama na mtoto kwa kufadhiliwa na taasisi ya Jane Goodall (JGI).




No comments:

Post a Comment