Mhe. Hamadi Mapengo Mwnyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda
akimkabizi Ngao na kiasi cha shilingi laki moja nahoza wa timu ya
Kabungu FC kama zawadi ya mshindi wa kwanza na mkuu wa wilaya ya
Mpanda Mhe. Salehe Mhando na Mkurugenzi Mtendaji Bw. Romuli R. John.

No comments:
Post a Comment