Mkuu wa mkoa wa Katavi Bw. Amosi Makalla (wa pili kutoka kushoto)
amefanya ziara ya kutembelea shule za sekondari zinazotarajia kuchukua
wanafunzi waliofauli na kukosa nafasi. Wilayani Tanganyika kuna
wanafunzi 363 na wanatarajia kujiunga kidato cha kwanza 2019 katika
shule za Sibwesa, Bulamata na Ilangu.
No comments:
Post a Comment