Friday 1 February 2019

Bw. Amosi Makala atiatimu Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda

Mkuu wa mkoa wa Katavi Bw. Amosi Makalla (wa pili kutoka kushoto) amefanya ziara ya kutembelea shule za sekondari zinazotarajia kuchukua wanafunzi waliofauli na kukosa nafasi. Wilayani Tanganyika kuna wanafunzi 363 na wanatarajia kujiunga kidato cha kwanza 2019 katika shule za Sibwesa, Bulamata na Ilangu.


No comments:

Post a Comment