Thursday 26 April 2018

Dereva wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Adam Osward akipimwa malaria katika zahanati ya Kasekese. Siku ya Malaria imeadhimishwa kiwilaya katika kijiji cha Kasekese sambamba na uzinduzi wa chanjo ya kinga ya saratani ya mlango wa shingo la kizazi kwa wasichana wa umri wa miaka 14.

No comments:

Post a Comment