Thursday 26 April 2018

Mwananchi wa kijiji cha Sibwesa Bw. Raymond P. Manjori amekabidhi mbuzi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Romuli Rojas John kwa ajili ya shughuli ya mwenge 2018. Wananchi wameshiriki vema kuchangia hali na mali.


No comments:

Post a Comment