Hamashauri ya Wilaya ya Tanganyika ni moja kati sehemu ya Aridhi Mkoa wa Katavi iliyobarikiwa na mambo mengi kama Kilimo,Ufugaji,Uvuvi,Utalii na Ufugaji wa Nyuki (kwa asali ya Nyuki wadogo na wakubwa)
Thursday, 26 April 2018
Mwananchi wa kijiji cha Sibwesa Bw. Raymond P. Manjori amekabidhi mbuzi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Romuli Rojas John kwa ajili ya shughuli ya mwenge 2018. Wananchi wameshiriki vema kuchangia hali na mali.
No comments:
Post a Comment