Thursday 26 April 2018

Timu yakutoka mkoa wa Katavi ikikagua miradi ya vijana inayotarajiwa kuzinduliwa na mbio za mwenge wa Uhuru 2018. (Kutoka kulia ni mratibu wa mwenge wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Mhandisi Alkam Sabuni, Mratibu wa mwenge wa mkoa wa Katavi Bw. Boko Maginje, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Romuli Rojas John na Mkuu wa Idara ya elimu Msingi mwl. Kenny Shilumba).


No comments:

Post a Comment