Wednesday 23 May 2018

Mkurugenzi Mpanda DC akabidhiwa magari 2

Mkurugenzi Mpanda DC akabidhiwa magari 2
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda, Romuli Rojas John ( wa kwanza kutoka kushoto) amekabidhiwa funguo za magari mawili kutoka kwa Mbunge wa Mpanda vijijini mhe. Moshi Kakoso. Magari hayo yametolewa na serikali kuu kwa ajili ya kuimarisha utendaji kazi katika Halmashauri ya wilaya ya Mpanda.


No comments:

Post a Comment