Hamashauri ya Wilaya ya Tanganyika ni moja kati sehemu ya Aridhi Mkoa wa Katavi iliyobarikiwa na mambo mengi kama Kilimo,Ufugaji,Uvuvi,Utalii na Ufugaji wa Nyuki (kwa asali ya Nyuki wadogo na wakubwa)
Wednesday, 23 May 2018
Wajumbe wa kamati ya afya Mwese wamejipanga kukamilisha ujenzi
Wajumbe wa kamati ya afya Mwese
Wajumbe wa kamati ya afya Mwese wamejipanga kukamilisha ujenzi na ukarabati wa kituo cha afya kwa wakati. Hayo yalisemwa mbele ya Mkurugenzi Mtendaji wakati wa ziara ya kikazi iliyofanyika Mei 18, 2018.
No comments:
Post a Comment