Wednesday 23 May 2018

Wajumbe wa kamati ya afya Mwese wamejipanga kukamilisha ujenzi

Wajumbe wa kamati ya afya Mwese
Wajumbe wa kamati ya afya Mwese wamejipanga kukamilisha ujenzi na ukarabati wa kituo cha afya kwa wakati. Hayo yalisemwa mbele ya Mkurugenzi Mtendaji wakati wa ziara ya kikazi iliyofanyika Mei 18, 2018.


No comments:

Post a Comment