Hamashauri ya Wilaya ya Tanganyika ni moja kati sehemu ya Aridhi Mkoa wa Katavi iliyobarikiwa na mambo mengi kama Kilimo,Ufugaji,Uvuvi,Utalii na Ufugaji wa Nyuki (kwa asali ya Nyuki wadogo na wakubwa)
Friday, 1 June 2018
Mkurugenzi wa taasisi ya Jane Goodall Bw. Emmanuel Mtiti akiwashukuru wajumbe wa CMT ya Halmashauri ya Mpanda (hawapo pichani). Watumishi wamejengewa uwezo wa kufanya kazi kwa kushirikiana kwa kila idara ili kuweza kutekeleza lengo la kupunguza ongezeko la watu na kufanikisha utunzaji wa mazingira.
No comments:
Post a Comment