Friday 1 June 2018

Mkurugenzi wa taasisi ya Jane Goodall Bw. Emmanuel Mtiti akiwashukuru wajumbe wa CMT ya Halmashauri ya Mpanda (hawapo pichani). Watumishi wamejengewa uwezo wa kufanya kazi kwa kushirikiana kwa kila idara ili kuweza kutekeleza lengo la kupunguza ongezeko la watu na kufanikisha utunzaji wa mazingira.


No comments:

Post a Comment