Friday 1 June 2018

Wajumbe wa CMT wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mafunzo ya kikao kazi

Wajumbe wa CMT wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mafunzo ya kikao kazi cha namna ya kufanya kazi kwa kushirikiana kwa pamoja. Kikao hicho kimeendeshwa na taasisi ya Jane Goodall (JGI) katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda, Mei 30, 2018. Wa tatu kutoka kulia (mstari wa mbele) ni Bi. Phoebe Samwel kutoka JGI.



No comments:

Post a Comment