waziri wa Maliasili na utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangala katia timu Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda
Waziri wa maliasili na utalii Mhe. Dkt. Hamis Kigwangala
akiteremka kutoka kwenye maporomoko ya Nkondwe yanayopatikana katika
Halmashauri ya wilaya ya Mpanda. Waziri Kigwangala amefanya ziara ya kutembelea
na kukagua misitu ya Tongwe Mashariki na Magharibi Julai 09, 2018.
No comments:
Post a Comment