Hamashauri ya Wilaya ya Tanganyika ni moja kati sehemu ya Aridhi Mkoa wa Katavi iliyobarikiwa na mambo mengi kama Kilimo,Ufugaji,Uvuvi,Utalii na Ufugaji wa Nyuki (kwa asali ya Nyuki wadogo na wakubwa)
Wednesday, 11 July 2018
Mkurugenziwa Mpanda DC akisalimiana na waziri wa Maliasili na utalii
Mkurugenzi Mtendaji wa
Halmashauri ya wilaya ya Mpanda akisalimiana na waziri wa Maliasili na utalii
Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangala. Dkt. Kigwangala amefanya ziara ya kikazi katika
Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Julai 09, 2018.
No comments:
Post a Comment