HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA YA JIPANGA KIKAMILIFU JUU YA DARASA LA AWALI
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Romuli Rojas John (wa kwanza kutoka kulia) akiangalia moja ya zana ya ufundishaji iliyotengenezwa na mwali wa darasa la kwanza. Zana hiyo imetengenezwa kwa kutumia mmea wa upupu pamoja na karatasi ya manila
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Romuli Rojas John (wa kwanza kutoka kulia) akiangalia moja ya zana ya ufundishaji iliyotengenezwa na mwali wa darasa la kwanza. Zana hiyo imetengenezwa kwa kutumia mmea wa upupu pamoja na karatasi ya manila
No comments:
Post a Comment