Friday 1 February 2019

NIMWENDO WA JET KWENYE UJENZI WA MADARASA

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPANDA NIMWENDO WA JET KWENYE UJENZI WA MADARASA
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Romuli Rojas John (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na afisa mipango Bw. Dotto Kwigena na Afisa elimu sekondari Bw. Michael Lyambilo, wakiteta jambo katika eneo la ujenzi wa sekondari Sibwesa. Siku hiyo uongozi wa mkoa wa Katavi na wilaya ya Tanganyika walifika kuona hatua ya ujenzi wa shule mpya ili ziweze kufunguliwa na kuchukua wanafunzi 2019.

No comments:

Post a Comment