Friday 1 February 2019

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPNDA YAJIPANGA KIKAMILIFU KUIMARISHA MBINU ZA UFUNDISHAJI MASHULENI.

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPNDA YAJIPANGA KIKAMILIFU KUIMARISHA MBINU ZA UFUNDISHAJI MASHULENI.

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mpanda (wa kwanza kutoka kulia) akiongozana na afisa elimu msingi Bw. Kenny Shilumba na sisita Rose Sungura wakiangalia zana za kufundishia wanafunzi wa awali na darasa la kwanza. Mafunzo hayo yameratibiwa na OR-TAMISEMI kwa kushirikiana EQUIP- Tanzania. Jumla ya walimu 82 na maafisa elimu wa kata 13 wamepatiwa mafunzo ya namna ya kuinua elimu katika wilaya ya Tanganyika.

No comments:

Post a Comment