Hamashauri ya Wilaya ya Tanganyika ni moja kati sehemu ya Aridhi Mkoa wa Katavi iliyobarikiwa na mambo mengi kama Kilimo,Ufugaji,Uvuvi,Utalii na Ufugaji wa Nyuki (kwa asali ya Nyuki wadogo na wakubwa)
Wednesday, 28 August 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda yaibuka kidedea maonyesho ya Kilimo Nanenane 2019 Mjini Mbeya
Viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wakikagua
mashine ya kukamua mafuta ya alzeti wakati wa maonesho ya Nanenane 2019
jijini Mbeya.
No comments:
Post a Comment