Friday, 1 June 2018
Viongozi Wakuu wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wakiteta jambo kabla ya kuanza kikao cha baraza maalum
Viongozi Wakuu wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wakiteta jambo kabla ya kuanza kikao cha baraza maalum. Baraza hilo limefanyika Mei 29, 2018 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa halmashauri mhe. Hamadi Mapengo, Mkurugenzi Mtendaji Romuli John, Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Mhe. Salehe Mhando, mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanganyika mhe. Yassin Kibiriti na makamu mwenyekiti mhe. Theodora Kisesa.
Wajumbe wa CMT wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mafunzo ya kikao kazi
Wajumbe wa CMT wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mafunzo ya kikao kazi cha namna ya kufanya kazi kwa kushirikiana kwa pamoja. Kikao hicho kimeendeshwa na taasisi ya Jane Goodall (JGI) katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda, Mei 30, 2018. Wa tatu kutoka kulia (mstari wa mbele) ni Bi. Phoebe Samwel kutoka JGI.
SASA HIVI MOTO UNAENDELEA KUWAKA KATIKA MLIMA WA LIYAMBAMFIPA ULIOKO ENEO LA KATA YA KAREMA UNAWAKA MOTO BAADA YA KUWASHWA NA WATU WASIOFAHAMIKA NA ENEO LILILOZUNGUKA MLIMA HUO KUNA MAKAZI YA WATU. BAADHI YA WANAKIJIJI WAMEFANIKISHA KUJIKINGA NA MOTO HUO KWAKUKAA PEMBEZONI MWA NYUMBA ZAO WAKIJARIBU KUUZIMA MOTO HUO KWA MATAWI MABICHI USIJE ZURU NYUMBA ZAO.
MWASLI LANGU JE MOTO HUU UNGEWAKA USIKU NANI ANGEJUA NA KUPAMBANA NAO?
Subscribe to:
Posts (Atom)